Mauaji ya albino tunahusika, mimba za utoto tumo, taifa linakwenda wapi hili?
Allan-Mwz
By: Allan-Mwanza on January 8, 2009 at 1:49 pm
Vitabu vya dini vinasema Mungu alitia kiberiti Sodoma na Gomola kwa sababu ya dhambi ya uasherati na sisi Tanzania tujiandae na moto wa mauaji ya albino.
By: Joy-Arusha on January 8, 2009 at 1:55 pm
Joy nakuunga mkono mia kwa mia. Pia Nathan hongera sana kwa kazi nzuri. Endelea kuelimisha jamii ili tunusuru taifa letu na hawa mashetani wachache wanaotaka utajiri haramu.
haya tena wadau wangu, kiwanja kingine cha kupata ujumbe huku ukivunja mbavu mojamoja
ndio hiki, www.nathankatuni.wordpress.com
yua mosti welkam
.................................
usikose kuangalia kibonzo mara baada ya
taarifa ya habari saa mbili usiku ITV.
jumatatu mpaka ijumaa
.................................
pata gazeti la majira kila siku. humo kijasti
kajaa tele akidadavua siasa, uchumi, jamii, utamaduni, michezo nk
................................
mchoraji katuni pitia pitia hii blog ili upate
nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali
duniani
Mauaji ya albino tunahusika, mimba za utoto tumo, taifa linakwenda wapi hili?
Allan-Mwz
By: Allan-Mwanza on January 8, 2009
at 1:49 pm
Vitabu vya dini vinasema Mungu alitia kiberiti Sodoma na Gomola kwa sababu ya dhambi ya uasherati na sisi Tanzania tujiandae na moto wa mauaji ya albino.
By: Joy-Arusha on January 8, 2009
at 1:55 pm
Joy nakuunga mkono mia kwa mia. Pia Nathan hongera sana kwa kazi nzuri. Endelea kuelimisha jamii ili tunusuru taifa letu na hawa mashetani wachache wanaotaka utajiri haramu.
By: Micky-Dar on January 8, 2009
at 1:59 pm