Mawazo mbadala: Mlipa kodi anaafya njema, ni mtu wa mazoezi na kujishughulisha; fisadi ana afya mgogoro(obesity), anatishio la magonjwa ya kisukari na moyo!
Fisadi haitumii kodi ya Mlipa kodi vizuri, mwishoe inamtokea mgongoni na tumboni!
haya tena wadau wangu, kiwanja kingine cha kupata ujumbe huku ukivunja mbavu mojamoja
ndio hiki, www.nathankatuni.wordpress.com
yua mosti welkam
.................................
usikose kuangalia kibonzo mara baada ya
taarifa ya habari saa mbili usiku ITV.
jumatatu mpaka ijumaa
.................................
pata gazeti la majira kila siku. humo kijasti
kajaa tele akidadavua siasa, uchumi, jamii, utamaduni, michezo nk
................................
mchoraji katuni pitia pitia hii blog ili upate
nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali
duniani
Hakuna usawa, wizi mtupu.
By: amon on May 17, 2009
at 2:23 pm
Mawazo mbadala: Mlipa kodi anaafya njema, ni mtu wa mazoezi na kujishughulisha; fisadi ana afya mgogoro(obesity), anatishio la magonjwa ya kisukari na moyo!
Fisadi haitumii kodi ya Mlipa kodi vizuri, mwishoe inamtokea mgongoni na tumboni!
By: Jose on September 15, 2009
at 12:54 am