haya tena wadau wangu, kiwanja kingine cha kupata ujumbe huku ukivunja mbavu mojamoja
ndio hiki, www.nathankatuni.wordpress.com
yua mosti welkam
.................................
usikose kuangalia kibonzo mara baada ya
taarifa ya habari saa mbili usiku ITV.
jumatatu mpaka ijumaa
.................................
pata gazeti la majira kila siku. humo kijasti
kajaa tele akidadavua siasa, uchumi, jamii, utamaduni, michezo nk
................................
mchoraji katuni pitia pitia hii blog ili upate
nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali
duniani
Mzee umeua hapo…nimepokea kwa dhati kuja kwako mtaani na tuendeleze mikanyago inayojenga kulisaidia Taifa hili.
By: Hassan Abbas on August 6, 2009
at 3:39 pm
Mtaani hapo namaanisha mtaani huku kunako mtandao…ni hatua kubwa katika kuendeleza na kuelekea ukombozi wa fikra kwa watanzania.
By: Hassan Abbas on August 6, 2009
at 3:42 pm
asante kamanda, nimekupata.
kazi njema.
nathan
By: nathankatuni on August 7, 2009
at 10:08 am