katuni hii inanitia machungu!!!! yaani wanasomba hadi mchanga wa madini sisi tunabaki na mashimo!!! Hii ni kwasababu ya watumishi wanajijali wao peke yao pasipo kujali wengine! Ole wenu arobain yenu ipo1 Kumbukeni mtachuma kijanjajanja na kujenga maapartments ila hatayakalia wala kuyafaidi.
haya tena wadau wangu, kiwanja kingine cha kupata ujumbe huku ukivunja mbavu mojamoja
ndio hiki, www.nathankatuni.wordpress.com
yua mosti welkam
.................................
usikose kuangalia kibonzo mara baada ya
taarifa ya habari saa mbili usiku ITV.
jumatatu mpaka ijumaa
.................................
pata gazeti la majira kila siku. humo kijasti
kajaa tele akidadavua siasa, uchumi, jamii, utamaduni, michezo nk
................................
mchoraji katuni pitia pitia hii blog ili upate
nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali
duniani
katuni hii inanitia machungu!!!! yaani wanasomba hadi mchanga wa madini sisi tunabaki na mashimo!!! Hii ni kwasababu ya watumishi wanajijali wao peke yao pasipo kujali wengine! Ole wenu arobain yenu ipo1 Kumbukeni mtachuma kijanjajanja na kujenga maapartments ila hatayakalia wala kuyafaidi.
By: Aman on August 5, 2009
at 6:01 am